Posts

Showing posts from July, 2018
     MSONGOLA HEALTH TRAINING INSTITUTE.   Chuo kimesajiliwa na NACTE  REG/HAS/178P Chuo kinatangaza nafasi za masoma kwa mwaka wa masomo 2018/2019                    Kozi zitolewazo ni:- 1.Basic techinician  certificate in clinical medicine   NTA Level 4 2.Technician certificate in clinical medicine NTA Level 5 3.Ordinary diploma in clinical medicine NTA level 6   SIFA ZA MUOMBAJI. -Awe amemaliza kidato cha NNE na awe na ufauru katika masomo ya sayansi angalau  physics -D chemistry -D Biology -D basic mathematics -D  (CERTIFICATE ) - Kwa wale walio hitimu kidato cha sita  Wataanza na DIPLOMA NTA level 6 Chuo kina HOSTEL kwa wavulana na wasichana kwa wale wote wanao toka mikoa ya mbali .   CHUO KIPO MKOA WA DAR-ES - SALAAM WILAYA YA ILALA  KINA MAZINGIRA MAZURI NA VIFAA VYA KISASA KWA KUFUNDISHIA PIA USAFIRI KWA WANAFUNZI WOTE.     ...